kasi ya 4g

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 4G ya Halotel ni utapeli

    Halotel hawana 4G Narudia hawana 4G Ninaishi katikati ya mji kabisa mita kadhaa tu kutoka minara yao ilipo lakini cha ajabu speed yake ni ya kobe yaani hata kb haifiki inatembea 5 bps yaan byte yaani hata kb hawafiki. Ukiona imesoma hata 2.2k/s hapo ndo imejitahidi. Nilidhani ni nyumbani...
  2. Je, Tanzania hakuna 4G? Hii tunayotumia ni 3.5G na tunadanganywa tu na makampuni ya simu?

    Je, ni kweli kwamba Tanzania hakuna 4g?hii tunayotumia ni 3.5g na tumedanganywa na makampuni ya simu? Wakuu nasikia hii 4g ya Bongo ni ya uongo na kwamba walichofanya wameleta tu 3g ya ulaya Marekani au China na kutuaminisha kuwa na ni 4G Wanasema hii 4g ya Bongo ni chenga tu na ni sawa na 3G...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…