Haijalishi weee hapa tunazunguzmia Mfyooonyo yaani unasikia mfyuuuuu mtu katoa yake na imevutwa kama mpira wa manati, yaani inaanza mbali na ikimalizika lazima utaona cha mtema kuni😂
🤪Wee acha tu
ngoja nikuvalie njuga.... qqmmk mfyuuuuuu😂
enzi hizo njuga ilikuwa kiatu chochote oversize...