Mtanzania aliyeopo Ukraine aeleza jinsi hali ilivyo katika mji wa Kharkiv ambapo anasoma masomo yake ya udaktari bingwa. Akizungumza, Dkt. Evans Liseki. Amesema milipuko kadhaa imesikika na. wameamriwa kukaa ndani na mamlaka hivyo ameshindwa kuhudhuria masomo.
Vladimir Putin alitangaza...
Kampuni ya Alphabet ambayo inaimiliki Google na YouTube imetoa ripoti ya mauzo yake na faida ambayo imeingiza katika Q4 2021 (October, November na December).
Alphabet imepata faida ya Dola Bilioni 75.3 sawa na Trilioni 174 Tshs. Hiyo ni jumla ya faida iliyopata katika biashara zake zote na...
App ya Snapchat, mwezi huu itaanza kuweka sehemu ya kubadili username. Kampuni hiyo imetangaza leo kuwa watumiaji wake watakuwa na uhuru wa kubadili username kama ilivyo katika Instagram na Twitter.
Hii itawezesha watu ambao walifungua kwa username za kawaida, kubadili username na pia wale...
Platform ya YouTube imetoa mipango yake katika kuongeza njia mpya za kutoa faida kwa Creators. YouTube imetaja list ya njia mpya za kupata faida katika YouTube.
𝗡𝗷𝗶𝗮 𝗺𝗽𝘆𝗮 𝗮𝗺𝗯𝗮𝘇𝗼 𝗬𝗼𝘂𝗧𝘂𝗯𝗲 𝗶𝗻𝗮𝘄𝗲𝗸𝗮 𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘄𝗲𝘇𝗲𝘀𝗵𝗮 𝗖𝗿𝗲𝗮𝘁𝗼𝗿𝘀 𝗸𝘂𝗽𝗮𝘁𝗮 𝗳𝗮𝗶𝗱𝗮:
① Itaweka uwezo wa kuunganisha NFT na akaunti/channel ya...
Historia ya mtandao wa YouTube
YouTube ilianzishwa na Chad Hurley, Steve Chen na Jawed Karim ambao awali wote walikuwa wafanyakazi wa PayPal. Hurley alisomea urasimu katika Chuo Kikuu cha Indiana ya Pennsylvania, huku Chen na Karim wakisomea kompyuta sayansi pamoja katika Chuo Kikuu cha...
Millard Afrael Ayo majina mengine ya utani Muyenjwa Laizer alizaliwa Arusha January 26 1986 akiwa ni mtoto wa kwanza kwenye famili ya watoto wanne ya Afrael Ayo ambae ni mmeru wa Akheri Tengeru, ni mfanyabiashara na mama Mary Ayo ni mwalimu.
Baada ya mama yake mzazi kuona uharaka wa uelewa wa...
BURUDANI Mnanikosea heshima kunishindanisha na Harmonize.
Hapo jana Msanii Pasha Mtepa akifanya Mahojiano na kituo cha Runinga cha East Afrika TV alisema watu wanamkosea heshima kumshindanisha na Harmonize kwa sababu yeye ndio wa kwanza kuuwakilisha mkoa wa Mtwara na amekaa muda mrefu kwenye...
Barabara hatarishi huwa na mtelemko mikali au kona nyingi au vyote kwa pamoja hapa Tanzania, hivyo uwezekano wa kupata ajari ni mkubwa dereva asipokuwa muangalifu.
- Hizi ni baadhi ya barabara hatarishi Tanzania.
1. Nyang’olo barabara ya Iringa kwenda Dodoma
2. Barabara ya mlima Kitonga...
Yamkini yalikuwa kwa ajiri yako wewe, unayesoma ujumbe huu.
Au kama siyo wewe basi rafiki yako, na kama siyo rafiki yako basi ni ndugu yako.
Na kama hao wote hayawahusu ila kuna kitu utajifunza.
Ili ukawafunze wengine.
UJUMBE HUU NI KWA AJIRI YA WANAWAKE
Ila kwa kuwa hakuna mwanamke bila...
Kongamano hilo kubwa la Viongozi wa Dini litafanyika Aprili 18, 2021 katika Ukumbi wa Chimwaga Dodoma.
Mheshimiwa Rais wa Tanzania Mama Samia pamoja na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi watahudhuria wakiwa wageni rasmi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.