kata ya kabondo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    DOKEZO Kata ya Kabondo (Simiyu) tulichanga Tsh. 30m Ujenzi wa Sekondari, Akaunti ya Benki imebaki na Tsh Laki 5 na ujenzi ni 0%

    Kupitia jukwaa hili, mimi mwananchi wa Kata ya Kabondo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu. Kwa niaba ya Wananchi wa kata hii, naomba kuleta malalamiko yetu kwa viongozi hasa Mheshimiwa Rais na Waziri wa TAMISEMI. Mwaka 2023 sisi Wananchi na Viongozi wa kata, tulikaa katika mkutano wa hadhara...
Back
Top Bottom