kata ya masagalu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    KERO Changamoto kubwa ya maji kata ya Masagalu

    Jaman hii shida iko mkoa wa Tanga wilaya ya Kilindi kijiji cha Masagalu kata ya Masagalu, wanawake wanaumia kwa ukosefu wa maji, maji yenyewe ni ya shida na yako mbali. Hivi hawa viongozi wanafanya kazi gani?
Back
Top Bottom