kata ya mtae

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana

    Mgombea udiwani wa CHADEMA kata ya mtae jimbo la Mlalo ametekwa leo mchana na hajulikani alipo. Hajarudisha fomu za kugombea udiwani, familia inamtafuta na makamanda wa CHADEMA wanamsaka. Vijana wameapa watakesha nyumbani kwake na ikibidi wanatoka na mtu. PIA SOMA - Uelewa wangu juu ya kundi la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…