katalin novak

Katalin Éva Veresné Novák (born 6 September 1977) is a Hungarian politician serving as the current president of Hungary, having been elected in the 2022 presidential election. Novák is the first woman to hold the presidency, as well as the youngest president in the history of Hungary, elected at the age of 44. A member of Fidesz, Novák has additionally served as member of the National Assembly from 2018 to 2022, and as Minister for Family Affairs in the fourth Orbán Government from 2020 until 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Hungary: Rais ajiuzulu kwa kumpa msamaha mtu aliyehusishwa na kesi ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto

    Rais wa Hungary, Katalin Novak ametangaza kujiuzulu baada ya kutoa msamaha kwa mtu aliyeficha taarifa katika kesi ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya Watoto Mtu huyo alitiwa hatiani kwa kuwalazimisha watoto kubadili kauli zao kuhusu ukatili wa kingono uliodaiwa kufanywa na msimamizi wa kituo cha...
  2. Roving Journalist

    Rais Samia ampokea Rais wa Hungary, Katalin Novak katika Ikulu ya Dar es Salaam, leo Julai 18, 2023

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Rais wa Hungary, Katalin Novak katika Ikulu ya Dar es Salaam, leo Julai 18, 2023. Rais Katalin Novak yupo katika ziara ya siku nne Nchini Tanzania kuanzia Julai 17 hadi Julai 20, 2023, updates ya kinachoendelea Ikulu ya Magogoni...
Back
Top Bottom