Ndugu zetu Kenya walipata katiba Mpya mwaka 2010.
1. Haki na wajibu zimeainishwa vyema, kuanzia Preamble mpaka kila ibara (japo by implications wanaruhusu 🌈 maana sheria inasema ndoa Ni muunganiko wa watu wawili bila kusema jinsia zao).
2. Rais kapunguziwa madaraka, yamepelekwa Kwa Wananchi...