katiba ya kenya

This article lists political parties in Tanzania. The country operates under a dominant multi-party system with the ruling party being in power since the nation attained its independence in 1961. It first governed as the Tanganyika African National Union, before merging with the Afro-Shirazi Party to form the Chama Cha Mapinduzi.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Unazungumziaje ubora wa katiba ya Kenya katika kuwawajibisha kwa haki wanasiasa?Ungetamani Tanzania Tufike walipo Kenya?

    Makamu wa Rais wa Kenya ameondolewa madarakani bila nguvu ya polisi kuonekana. Ameondolewa madarakani kwa kura za wazi na akipewa nafasi yakujtete bila TV kuzimwa. Ameondolewa adharani kwa mfumo wa wazi bila kuwepo kwa maneno kwamba kuna watu wanahatarisha amani ya nchi. Ameondolewa katika...
  2. J

    Nilikuwa mbishi sasa nakubali Kenya wana Katiba bora, japo mapungufu machache hayakosekani

    PAMOJA na umahiri wa Maseneta na Mawakili wa Kenya katika kuchambua vifungu Vya Katiba kimoja baada ya kingine ni Wazi kabisa Katiba Mpya ya Kenya inabaki kuwa Bora. Dah hawa Wanasheria ni noma. Yaani Katiba imesheheni kila kitu ila pale kwenye Impeachment inasoma " President" na siyo " Deputy...
  3. ChoiceVariable

    Kenya kuongeza muda wa Rais kutawala kuwa miaka 7, mbioni kuunda cheo cha Waziri Mkuu

    Kenya imewasilisha Bunge la seneti mswaada wa kuongeza muda wa Rais Kutawala kutoka miaka 5 kwenda miaka 7 sanjali na kuunda nafasi ya Waziri Mkuu. Kenya ambayo chadema huwa wanaitolea mfano ni mojawapo ya Taifa ambalo linatapatapa na linaelekea kuparaganyika huku Mabadiliko ya Katiba...
  4. Tlaatlaah

    Katiba ya Tanzania ni bora zaidi ya Katiba ya Kenya na Afrika Mashariki kwa ujumla

    Kwa mfano katiba ya Kenya ya 2010 imewatia wakenya kwenye mkwamo mkubwa mno wa maendeleo, mathalani kwenye nafasi ya urasi maana kila baada uchaguzi unapomalizika hapo hapo kampeni za uchaguzi unaofuata zinaanza hapo hapo. Mbaya zaidi, inakua ni mapambano, mipasho, mabishano na kutunishiana...
  5. Stuxnet

    Kama Katiba ya Kenya Inaruhusu, William Rutto Ajiuzulu Tu

    Alifuta Finance Bill last week then akasaini sheria mpya ya IEBC. Still Gen Z hawakuridhika. Leo amefuta cabinet yote ya Kenya na kumbakiza DP na CS. Ningekuwa mshauri wa William Rutto ningemuambia asome Katiba na aangalie Ibara/kifungu kinaymchomruhusu kujiuzulu na AKABIDHI kwa mamlaka...
  6. Peacehand

    Waandamanaji wa Kenya wabebe walao picha ya Mwai Kibaki kwa kuwapa katiba bora

    Huyo ndiye aliyewapa wa kenya katiba bora tofauti na vijitabu vya mataifa mengine. Baada ya kumaliza m.a ya uchumi huko uingereza alirudi kufundisha kabla hajatimukia kwenye siasa ambapo baada ya kifo cha kenyata moi alimeua kuwa makamu wa rais. Akiwa makamu wa rais alipinga udikiteta wa moi...
  7. Allen Kilewella

    Kila siku kazi yetu itakuwa kuwasifia Wakenya

    Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo. Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani. Wakaja wakabadili Katiba yao na wakabadili kabisa mfumo wao wa Serikali. Tukawasifia. Sisi hapa bado...
  8. Valencia_UPV

    Katiba nzuri Kenya kwenye Jamii iliyojaa Rushwa ni mzaha

    Ndugu zetu Kenya walipata katiba Mpya mwaka 2010. 1. Haki na wajibu zimeainishwa vyema, kuanzia Preamble mpaka kila ibara (japo by implications wanaruhusu 🌈 maana sheria inasema ndoa Ni muunganiko wa watu wawili bila kusema jinsia zao). 2. Rais kapunguziwa madaraka, yamepelekwa Kwa Wananchi...
Back
Top Bottom