katibu wa itikadi na uenezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Amos Makalla: Umma hauandaliwi kwa nguvu, unakubali wenyewe

    Wakuu, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Amos Makalla amesema falsafa ya maandalizi ya umma inasema kuwa umma hauandaliwi kwa nguvu bali hukubali wenyewe. Makalla ameongeza kuwa kwa umma uliojitokeza katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni...
  2. Z

    Nilipendekeza kuwa Nape anafiti sana kwenye nafasi ya Uenezi

    Nilishauri wakati alipotenguliwa Makonda kuwa nafasi hiyo inamfaa sana Nape. Bado nashauri tena baada ya kuondolewa kwenye Uwaziri, Nape anafiti sana kwenye nafasi ya Katibu Muenezi. 1. Ana uzoefu 2. Ana vibe Nashauri arudishwe kwenye nafasi yake. Pia soma=> Uteuzi na Utenguzi: Nape, January...
  3. Uteuzi wa Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa ni moto!

    Ni moto, si, tu kwa Upinzani bali pia kwa waliolala na kujibweteka kwa kufanya kazi kwa mazoea ndani ya chama na ndani ya serikali iliyopo mamlakani. Huyu kijana si tu mwanasiasa bali pia mwanaharakati mahiri nchini. Ana hulka za jino kwa jino, sina hakika kama kabadilika. kwa maoni yangu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…