katibu wa neto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. deNavigator

    NETO punguzeni jazba: Tusiingize siasa kwenye elimu, tuache interview iamue nani aajiriwe

    .Acheni tu usaili wa walimu ubakie hivyo wazee. Labda kama kuna marekebisho basi yafanywe ila inerview ibaki. Wazee niwaambie asilimia 70 ya walim wa NETO. hawako compitent. Yaan. Swala la kusahau content lipo deep sana. Na kwa uziada wapo walopita shule kijanja janja tu so hawako na uwezo...
  2. Mindyou

    Baada ya Mwenyekiti, Katibu wa Jumuiya wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) naye adaiwa kukamatwa na Jeshi La Polisi usiku huu

    Wakuu, Baada ya jana kukamatwa kwa Mwenyekiti wa NETO, leo zimeibuka taarifa kwamba Katibu wa Jumuiua hiyo amekamtwa na Jeshi La Polisi. Kupitia mtandao wa X, NETO waliandika kwamba: Katibu NETO Bw. Daniel Edger Mkinga amekamatiwa Kibaha Miembe Saba nyumbani kwake majira ya usiku wa saa tatu...
Back
Top Bottom