kauli tata za vijana wa ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jingalao

    UVCCM ni wakati wa kuingia kwenye Social Media na kueleza ukweli!

    Haiwezekani kuwaacha vilaza waliofeli eti ndio news makers huku mitandaoni na kuchukua credits eti wao ndio wasemaji wa Taifa. Wito wangu kwa vijana makini na waliolelewa na kufunzwa vyema na wazazi pamoja na vyombo vya chama cha Mapinduzi na Serikali kuingia rasmi mitandaoni na kuwapa...
  2. Matulanya Mputa

    UVCCM acheni kusifia vitu ambavyo havipaswi kusifiwa

    Leo UVCCM hawajuhi mbegu ambazo wanapanda zitakuja kuwagarimu baadae? Leo UVCCM hawajuhi miaka inayoenda au miaka ya mbele vijana wanaenda badilika? Je uovu, mateso ya watanzania hawayaoni, siku wakija omba uongozi ikiwemo ubunge, udiwani, je wakiambiwa mlikuwa mnatetea wala rushwa...
  3. Bila bila

    UVCCM, hili la kuteka, kutesa na kupoteza watu hamtaliepuka kutokana na kauli tata za viongozi wenu

    Ni mlolongo wa viongozi wa Umoja wa Vijana CCM, tangu HERI JAMES Hadi Mohamed Kawaida, kuanzia viongozi wa Vijana mikoa Hadi ngazi ya Kata kote ni majigambo na vitisho vya kupoteza maisha ya wanaopinga Chama Chao au kuwaharibia Biashara zào wanaokataa kusapoti Chama Chao kifedha. Kutokana na...
Back
Top Bottom