Habari zenu wana JF wenzang
Baada ya tumbua tumbua iliyofanyika jana, na kupelekea vijana wawili (maadui wa taifa) kutumbuliwa na mwenye nchi yake, inasemekana na kuonekana kabisa kuwa watumbuliwaji wameunda genge lao na kutuma vijana huku mitandaoni kwa lengo la kumpiga mkwara boss wao...
Huu uzi niwakuwachana wana JamiiForums haswa wale ndakindaki wa jukwaa la siasa.
Niseme tu ukweli kushadadia kuteuliwa ama kutenguliwa kwa baadhi ya watu, humu ndani imekuwa ndio mada zinazo tambaa kwasasa. Naweza kuita ni ujinga, upuuzi ama ni uzwazwa.
jukwaa hili halifai kuendekeza mijadala...
Karma Is real mwaka 2025 kutakuwa na mgombea Urais kupitia CCM mpya, kutakuwa na mgombea Mwenza mpya kutakuwepo na timu mpya ya kampeni za mgombea Urais mpya
Nnauye Moses Nape ana kiburi cha kubebwa asahau kwa sababu mgombea Urais mpya hatamhitaji Nape Moses Nnauye and the go likes
Kwa sababu...
Tukumbuke tu kwamba kumekuwa na malalamiko mengi ya wateja wa mitandao ya simu, kuktwa salio pasipo kujiunga na huduma yoyote ile. Hivyo basi kwa kauli hii ya waziri, haina budi wahusika watoe ufafanuzi.
Je, ni maelekezo kutoka juu?
- Malalamiko yangu kwa mitandao ya simu, hasa Halotel na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.