kauli ya rais samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Kauli ya Rais Samia yawaliza watoto wa Jenerali Kiwelu

    Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiitaka Mahakama kutenda haki kwa usawa na wakati, watoto wa aliyekuwa Jenerali Tumainieli Kiwelu wanaomba shauri lao la kuondolewa kwa wasimamizi wa mirathi ya baba yao lililofunguliwa May,2024 limalizike. Rais Samia akiwa kwenye maadhimisho ya wiki ya Sheria...
  2. Damaso

    Kauli ya Olutu inakinzana na kauli ya Rais Samia

    Gharama ya kuungiwa umeme kwa wakazi wa vijijini ni shilingi elfu 27 tu (27,000). Lakini kwa wakazi wanaoishi mjini gharama yake ni Laki tatu na arobaini na moja elfu (341,000)- Mh. Jones Olutu, Mkurugenzi wa Umeme Vijijini. Samia alikwisha kutuambia kuwa hakuna umeme wa alfu 27 hapa Tanzania...
  3. Mystery

    Kutokana na kauli ya Rais Samia, kuwataka viongozi waige mfano wa uongozi wa Sokoine. Swali la kujiuliza ni viongozi wangapi wa sasa ni waadilifu?

    Moja ya kauli aliyotoa Rais Samia Jana wakati akikizindua kitabu Cha Hayati Edward Sokoine, katika hafla iliofanyika Dar, aliwaonba viongozi wenzake, waige mfano wa Hayati Edward Sokoine wa uzalendo wa kulipenda Taifa lake wa hali ya juu sana na kuwatumikia wananchi wa nchi hii Kwa uadilifu...
  4. B

    Kauli ya Rais Samia inaashiria kuwa CHADEMA hawako salama ndani ya chama hicho wapo vijana wake wa "Kitengo"

    Akihutubia kwenye maazimisho ya miaka 20 ya jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro Septamba 17, 2024 rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uovu wote uliopangwa kwenye mkutano wa chama kimoja cha upinzani (CHADEMA) anazo taarifa zote Rais amesema kuwa interenjesia ya vijana wake ina uwezo mkubwa...
  5. R

    Nimefurahishwa na kauli ya Rais Samia kumwita Tundu Lisu Mwanangu

    Furaha iliyoje, Lisu ni "mtoto" wa Rais Samia. Very good and fine! Sasa Mama mlipe mwanao Lisu stahiki zake za matibabu ambazo amekuomba muda mrefu. Biblia inasema: ni mzazi gani mwanawe akimuomba mkate atampa mawe? Hayupo. Basi Mama mpe mwanao stahiki zake
  6. Stroke

    Na hilo mkaliangalie ni mtego; utaondoka na wengi

    Nakumbuka baada tu ya kuapishwa Rais Samia Hassan. Nilikua najadiliana na rafiki yangu kuhusiana na mwenendo mzima wa Samia. Tulijadili mambo mengi ikiwemo pia kauli yake ya na hilo mkalitazame. Kauli hiyo ilimaanisha kuwa aliwapa uhuru wa kufanya kazi , Ila alitegemea mrejesho mzuri...
  7. nyamadoke75

    Wachimbaji wa madini mererani wachachamaa wapinga soko la madini kuamishwa kwenda Arusha tunasimama na kauli ya Rais Samia

    SAKATA la kutaka soko la Madini ya Tanzanite kufanyika sehemu zote nchini sasa limeingia katika sura mpya baada ya wachimbaji wa madini hayo kusema kuwa wanaongoza agenda hiyo hawana nia njema na Serikali na wachimbaji kwani wametanguliza maslahi yao binafsi. Wachimbaji hao walisema na...
Back
Top Bottom