Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amesema kuwa hospitali zote za umma na binafsi zinapaswa kuwahudumia wajawazito na wagonjwa wa dharura bila masharti ya malipo ya awali.
Ametoa kauli hiyo bungeni Ijumaa, Januari 31, 2025, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest...
Habari zenu wakuu,
Kama mnavyo jua serikali yetu Haina misingi imara ya ajira kwa watu wake hivyo kutegemea sector binafsi kutatua angalau tatizo la ajira inchini
Na tunapo zungumzia sector binafsi ni pamoja na viwanda vidogo vidogo vinavyo milikiwa na wakulima pamoja na wafanya biashara...
Kuna kilio cha wananchi ambao wamelima miwa yao na wameshindwa pa kuuza kwa sababu viwanda navyo vina sukari na wameshindwa wamuuzie nani.
Serikali tumeiweka sisi wananchi madarakani ili ituongoze na kutuletea maendeleo. Sasa nini kauli ya Serikali kuhusu Wakulima ambao wana miwa yao na...
Mkutano wa Msemaji Mkuu wa Serikali na Waandishi wa Habari
Ijumaa, Aprili 12, 2024
3:30 Asubuhi
Ukumbi wa TTCL, Jengo la TTCL, Ghorofa ya 12, Barabara ya Samora, Dar es Salaam
https://www.youtube.com/live/nUer3g5TXCs?feature=shared
UPDATES
Mvua na Mafuriko
Itakumbukwa kwamba tarehe 24...
bwawa
habari
kauliyaserikali
kufua umeme
kuhusu
mafuriko
mafuriko bwawa la umeme la julius nyerere
mafuriko morogoro 2024
mafuriko pwani 2024
mafuriko rufiji 2024
mafuriko tanzania 2024
mkutano
mkuu
mobhare matinyi
msemaji
msemaji mkuu wa serikaliserikali
tamko la serikali
waandishi
waandishi wa habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.