kauli za mchungaji msigwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwande na Mndewa

    Peter Msigwa; Nikiamua kusema yote ninayoyajua mtahama CHADEMA

    Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli...
  2. T

    Pre GE2025 CCM tuwe macho na Msigwa atachafua mahusiano ya kimataifa

    Pamoja na Nape kuwa bomu bingwa wa uropokaji, Chama changu kitukufu tuwe macho na Peter Msigwa staili yake ya kuzungumza bila kupima kauli zake inaweza kukiponza chama. Ana speed kali juzi Kawe alimlinganisha Mbowe na Kurunzinza wa Burundi kwa Udikteta bila kujua kuwa tuna urafiki wa karibu na...
Back
Top Bottom