Nadhani muda umefika siyo mbali CCM inakwenda kulala upande mmoja.
Mwl. Nyerere aliposema CCM si mama yake wala baba yake alikuwa na maana hasa.
Mwl. Nyerere aliposema mpinzani wa kweli atatokea ndani ya CCM basi si mbali.
Mwl. Nyerere aliposema CCM hakitakuwa na uwezo tena pale atakapotokea...