kauli za walimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uliwahi kutamkiwa neno gani baya na Mwalimu wako?

    Baadhi ya walimu kuanzia Shule ya Awali na Msingi,Sekondari na hadi Chuo wamekuwa na tabia ya kutamkia watoto maneno makali na yenye kukatisha tamaa. Mojawapo ya Maneno hayo ni kama “Hutaweza kufanikiwa hata siku moja”. Wakati mwingine maneno hayo huwafanya wanafunzi kujiona wanyonge na kukata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…