Uongozi wa Wafanyabiashara wadogo wa Kariakoo ‘Machinga’ (KAWASO) umekuwa ukifanya mambo ya uonevu na unyanyasaji kwa Machinga wa Kariakoo kila kukicha tena mchana kweupe!
We are not sure Serikali wanayajua haya au lah and they are un touchable sijui nguvu wanaitoa wapi?
Walianzisha program ya...