kazi ya bodaboda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwamuzi wa Tanzania

    Kama serikali imeshindwa kuwasadia vijana kuondoka kwenye ubodaboda ni muda sasa bodaboda liwe somo la lazima Sekondari

    Katika reform ya elimu yetu ambayo inakwenda kuanza soon wasisahau kuweka somo la bodaboda huko sekondari. Bodaboda ni nyanja iliyoajiri vijana zaidi ya milioni 1. Ndio sekta iliyobeba vijana wengi kuliko sekta zote nchini. Baadhi yetu tulikuwa tukiisihi serikali kuwaondoa vijana kwenye hii...
  2. Roving Journalist

    Waziri Silaa azindua mfumo wa usafirishaji wa vifurushi, mizigo, na abiria (Swifpack), asema utapandisha thamani kazi ya bodaboda

    WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb), amesema kuwa kupitia mfumo wa usafirishaji wa vifurushi, mizigo, na abiria Serikali itaimarisha uchumi wa kidijitali, kukuza baishara mtandao na kuleta ajira nyingi kwa vijana hususan madereva wa pikipiki (bodaboda)...
  3. Full charge

    Bodaboda zinatudhalilisha sema basi tu hatuna jinsi

    Hakuna kitu kinakera kama kupakiwa mshikaki,kwanza kuna hali fulani si ya kupendeza unakuta mke wa mtu kakaliwa nyuma na jamaa pale lazima jamaa liskie joto lake au shanga zake na kuvuta hisia. Kero nyingine ni kile kitendo wanaume mnatangulizana halafu zote njemba hiyo kitu huwa siikubali hata...
  4. Mwamuzi wa Tanzania

    Bodaboda wanazeeka sana, ile kazi yao nahisi ni ngumu mno!

    Kuna dogo ni jirani yetu kijijini, nimempita kama miaka 12-15 Nilimwona miaka 5 imepita Kariakoo akifanya kazi kwa Wahindi na juzi nimemwona Kazini analeta bahasha akiwa na boda. Anasema aliacha kazi kwa Wahindi na kujiingiza kwenye ubodaboda. Kijana kazeeka ghafla utadhani kanizidi umri. Kuna...
Back
Top Bottom