May all souls find enlightenment,
Kama unaupenda uzao wako na ungependa kuwaepusha na hekaheka kamwe usimpeleke mtoto wako upolisi.
Kwa uzoefu wetu sote tunajua jinsi baadhi ya Polisi kuwa ni watu wa dhuluma, uonevu na unyama wa kutisha unaweza kusema mtu fulani mtoto wako au ndugu ni mwema...
Nijuavyo mimi ma professional wakweli hawatakagi kupangiwa na wanasiasa hasa kama kinachopangwa ni kinyume na taaluma yao.
Kwanini polisi wakiambiwa kamata wanakamata kweli wakati wanajua wazi kuwa ni kinyume na maadili ya kazi yao? Ilibidi Mkuu wa Wilaya akiamuru kamata huyu weka ndani, askari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.