Habari wana JF.
samahani kwa kuwakimbizeni.
Short storyline.
Nimepambana sana na application's za kupambania nafasi za kazi, ila sijabahatika ziaidi ya mara tatu. Ni mbili tu(Online business).
Sawa tuachene na hizo.
Nipo hapa kijana wenu (23), nahitaji msaada wenu. Mimi ni mhitimu wa chuo...