kazi za sanaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Je, Wanajeshi watalazimisha kuchukua nguo za kijeshi hata kwa wanaomiliki kwaajili kufanya kazi za sanaa wakati sheria haijazuia?

    Sheria ya Makosa ya Adhabu namba 16 na Kanuni zake haimzuii mtu kumiliki wala kuvaa mavazi rasmi ya Jeshi ikiwa vazi hilo rasmi litavaliwa kwaajili ya matamasha au maigizo yanayowakilisha Jeshi lolote la Polisi kwa "Nia Njema" Kifungu cha 178 kifungu kidogo 1, 2 na 3 cha Sheria hii pamoja na...
  2. Roving Journalist

    Ripoti ya Mtandao wa Sekta Bunifu Tanzania (CINT) imeonesha COSOTA waliipa JKT kazi ya kukusanya Mirabaha ya kazi za Sanaa

    Taasisi ya CINT inayofanya kazi ya Utetezi, Uzengezi na Uwezeshaji, Kuwaunganisha Wasanii na Taasisi zao na Kuzungumza kwa niaba ya Sekta ya Ubunifu Tanzania katika maeneo ya Sera, Fedha, Sheria, Elimu, Miundombinu na Teknolojia imezindua Ripoti ya Wadau wa Sekta ya Sanaa Tanzania ambapo katika...
  3. Manuell

    Stolen african artifact/ kazi za kisanii za kale zilizoibiwa katika kipindi cha ukoloni

    Huyo ni mjusi/Dinosaur anayeamika kuishi Tanzania miaka mingi iliyopita ambaye kwa sasa mabaki yake yamehifadhiwa katika Makumbusho nchini ujerumani. hio ni moja kati ya maelfu ya kazi za kisanii, mabaki ya viumbe hai vilivyoibiwa katika kipindi cha ukoloni. katika kipindi cha ukoloni ukiachana...
  4. Lady Whistledown

    Ujerumani kurejesha kazi za sanaa na vito vilivoporwa Barani Afrika enzi za Ukoloni wao

    Ujerumani imesema ipo tayari kurejesha vitu vilivyoporwa kutoka katika bara la Afrika wakati wa ukoloni zikiwemo kazi za sanaa kutoka Tanzania wakati wa Vita vya Maji Maji na migogoro mingine wakati wa utawala wake wa kikoloni wa mwanzoni mwa karne ya 20. Taasisi ya Prussian Cultural Heritage...
  5. Teleskopu

    Naweza kupata wapi Epoxy Resin kwa ajili ya kutengeneza kazi za sanaa?

    Habari wakuu Naomba kujua ni wapi naweza kupata EPOXY RESIN kwa ajili ya kutengeneza kazi za sanaa kama vile mapambo. Mfano hii hapa chini. Natanguliza shukurani.
  6. Analogia Malenga

    BASATA: Ili msanii kufanya kazi za sanaa nje ya nchi anatakiwa kulipia Tsh. 50,000 ya kibali

    Msanii na mmiliki wa lebo ya WCB, Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa haruhusiwi kusafiri nje ya nchi bila ya kuwa na kibali cha Serikali, huku Baraza la Sanaa Taifa (Basata) ikieleza namna ya kupata kibali hicho Diamond aliweka wazi jambo hilo alipokuwa akifanya mahojiano na kipindi cha The...
Back
Top Bottom