Wakati wao wanahangaika kufanya yasio na tija kwa WanaLushoto yeye anapambana kuleta maendeleo, anapambana kuondoa kero kwa WanaLushoto, anaendelea na mpango wa kuunganisha vijiji vilivyotenganishwa na mito ili kurahisisha huduma za kijamii.
Makwega Adeladius Kazimbaya you are "UNSTOPPABLE"...