kazimbaya makwega

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwandishi wa Habari aliyekamatwa akituhumiwa kuiandika vibaya UDOM aachiwa kwa dhamana

    Mwanahabari Kazimbaya Makwega ambaye alikamatwa na Askari Polisi akiwa Chuo cha Mallya, Kwimba (Mwanza), Februari 22, 2024 kisha kusafirishwa hadi Dodoma kwa tuhuma za kuandika maneno ya uchechezo dhidi ya Chuo Kukuu cha Dodoma (UDOM) kupitia tovuti yake ya ‘Mwanakwetu’, ameachiwa kwa dhamana...
  2. Mwandishi wa Habari, Kazimbaya Makwega ashikiliwa na Polisi, asafirishwa kutoka Mwanza hadi Dodoma

    Salama Wana JF, Nimeona andiko hili huko Mtandaoni, kuna mwenye taarifa ya kinachoendelea? === Mwandishi Kazimbaya Makwega asafirishwa toka Mwanza kwenda Dodoma Ndugu waaandishi wenzangu muda huu nimefika kituo kikuu cha polisi kati na mawakili wa wawili wa OJADACT kufuatilia kukamatwa kwa...
  3. M

    Piga Kazi Makwega

    Wakati wao wanahangaika kufanya yasio na tija kwa WanaLushoto yeye anapambana kuleta maendeleo, anapambana kuondoa kero kwa WanaLushoto, anaendelea na mpango wa kuunganisha vijiji vilivyotenganishwa na mito ili kurahisisha huduma za kijamii. Makwega Adeladius Kazimbaya you are "UNSTOPPABLE"...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…