Wakuu mmebarikiwa Sana na Mungu wa Mbinguni hakuna laana.
Leo naendelea na muha taeleza siku naondoka rasmi na kuachana Naye.
Nakumbuka nyakati hizo Yule mwanamke alizidi kunipanda kichwani alianza tabia za kurudi usiku Sana nyumbani yaani Mimi nilikuwa nafanya kazi maeneo ya ubalozi WA kenya...