kelele za baa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Mamlaka zinazohusika na kutoa vibali kwenye kumbi za starehe na bar zijitathimini upya

    Kuna bar moja inaitwa Flamingo ipo Salasala DSM katika ya makazi ya watu inapiga mziki mkubwa usiku kucha. Inatuletea usumbufu majirani unakuwa na kelele za bar ujakaa sawa kuna kelele za makanisa ya kiroho katika kuabudu Naomba Serikali iandae sheria ya sounds proof kwa haya makanisa na kumbi...
  2. A

    KERO Kelele usiku kucha Mtaa wa Alesika, Mbezi Beach kutoka Amigos Pub na Kanisa la Angels Ministry ni kero kubwa, tumechoka!

    Sisi wakazi wa Mbezi Beach kwa Komba mtaa wa Alesika Road jirani na Ofisi za Airtel tunateseka kwa kulazimika kukesha pamoja na waumini wa kanisa la Angels Ministry ambao wapo kushoto kwetu na Amigos Pub ambayo ipo kulia kwetu. Wanakesha kwa makelele usiku kucha na kuondoka saa 11 asubuhi. Kwa...
  3. A

    KERO Kero ya kelele uwepo wa Baa karibu na Kituo cha Afya Mrijo Chini wilaya ya Chemba

    Kumekuwa na kero ya kukosa utulivu nyakati za usiku baada ya uwepo wa sehemu hii ya biashara kwani sehemu hii ipo karibu na hospital na makazi ya watu na kusababisha watu kushindwa kulala wakiwemo watoto, pia wagonjwa hawapati utulivu na hakuna anayesema lolote kuhusu hili. Nahisi ni kuogopa...
Back
Top Bottom