Kenneth Sean "Ken" Carson Jr. is a fashion doll introduced by American toy company Mattel in 1961 as the counterpart of Barbie, who had been introduced two years earlier.
Similar to Barbie, Ken is from Willows, Wisconsin, and has a fashionable line of clothing and accessories (although he made his debut wearing only a swimsuit). In the Barbie mythos, Ken met Barbie on the set of a TV commercial and is her boyfriend, per promotional box inscriptions from his debut until 2018. As of September 2022, he is perceived as one of Barbie's main friends. Since his debut, Ken has held over 40 occupations, the latest being "beach" (standing in the sand and surveying the waves), as depicted in the 2023 Barbie film.
Ligi NBC kuendelea leo majira ya saa kumi na robo alasiri katika uwanja wa KMC Complex ambapo Yanga watakuwa wenyeji wa Ken Gold.
Yanga wanaingia katika mchezo huu wakiwa katika nafasi ya pili wakiwa na wamecheza michezo 16 wakishinda michezo 14 na kupoteza 2 huku wakifunga magoli 36 na...
africans
complex
duka
gold
itazame
kengoldkengold
kikosi
kikosi cha yanga
kmc
kmc complex
kumbuka
live
maarufu
magoli
mechi
muuza duka
nbc
official
yanga
young
young africans
Yaani kama Yanga SC na Simba SC wamemshindwa kwa tabia zake nyie ndiyo mtamuweza? Na mlivyo Wapuuzi nyie wenyewe ndiyo mmempa Mkataba 'Maalum' kuwa awe anakuja tu huko Mkoani kwenu mliko Siku Mbili kabla ya Mechi yoyote na akimaliza Kucheza Siku hiyo hiyo anarudi Dar es Salaam kuendelea kula...
KenGold walitaka saini ya Benard Morrison, jamaa akawapa sharti moja, lazima wamsajili na mdogo wake ambaye hajawahi kucheza Ligi Kuu na hawezi hata kupiga danadana tano.
KenGold nao wameingia kwenye mfumo kwa kukubali hilo sharti.
Morrison na nduguye wamekenua meno na kutudharau Watanzania.
Azam sports wana umakusudi, hawana vertical top view camera, hawana camera nyuma ya goli, wachambuzi wa mchongo Mbwaduke na Kiemba wanalamba Asali kwa kusema uongo.
Aibu nyingine tena kwa ligi kuu ya Tanzania, Yanga SC wanaforce ushindi wa bahasha kwa mara ingine.
Diara juu ya mstari, je mpira...
Dah! Huyu mwamba huu msimu kaamua kuja kivingine kabisa kwa ufupi hasomeki.
Yahani akikutana na timu kubwa na inayojua ball anaibamiza bao za kutosha, ila akiutana na wachovu pale ndio unajua mtu anakula nyingi siku hiyo ndio anapata ushindi mwembamba.
Rejea hizi games
Yanga 1 Vs Ts galaxy 0...
Hapo vip!
Kwa mchezo na matokeo ya leo ya Yanga dhidi ya Ken Gold ni dhahiri ya kwamba yanga ni timu mbovu sana.
Na leo imedhihirisha hizo timu Yanga alizocheza nazo za club bingwa CBE SA na Vital O ni matimu mabovu kuliko hata Keny Gold. Ken Gold amezulumiwa gold la wazi ingrkuwa draw.
Club...
Lile ni bao dhahiri, kama Yanga ndio wangefungwa halaf ndio kichwa kile wamepiga wao lazima ngoma ingewekwa kati, Yanga wasifungwe au kutoa sare wao nani
Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.