1. Simba imecheza vizuri mno/kikubwa kipindi cha kwanza. Kongole kwa Awesu Awesu, Muzamiru yassin, Fabrice Ngoma, Kelvin Kijili na Ladark Chasambi.
2. Sub ya Okejepha, Ahoua na Mutale imeharibu mpira wa Simba kipindi cha pili.
3. Jean Charles Ahoua haitendei haki nafasi anayocheza, simba...