kenya airways

Kenya Airways Ltd., more commonly known as Kenya Airways, is the flag carrier airline of Kenya. The company was founded in 1977, after the dissolution of East African Airways. Its head office is located in Embakasi, Nairobi, with its hub at Jomo Kenyatta International Airport.The airline was owned by the Government of Kenya until April 1995 (1995-04), and it was privatised in 1996, becoming the first African flag carrier to successfully do so. Kenya Airways is currently a public-private partnership. The largest shareholder is the Government of Kenya (48.9%), with 38.1% being owned by KQ Lenders Company 2017 Ltd (in turn owned by a consortium of banks), followed by KLM, which has a 7.8% stake in the company. The rest of the shares are held by private owners; shares are traded on the Nairobi Stock Exchange, the Dar es Salaam Stock Exchange, and the Uganda Securities Exchange.The airline became a member of SkyTeam in June 2010 (2010-06), and is also a member of the African Airlines Association since 1977.

View More On Wikipedia.org
  1. Chachu Ombara

    Zambia: Civil Aviation Authority Suspends all Kenya Airways flights into Lusaka

    The Zambia Civil Aviation Authority (CAA) has suspended all Kenya Airways flights into Lusaka as of early October 2024. The exact reasons for this decision have not yet been fully disclosed, but it follows similar regional tensions in aviation, such as disputes between Tanzania and Kenya over...
  2. ChoiceVariable

    Mwaka 2023, wakenya milioni 12 walisafiri kwa ndege ilhali watanzania milioni 3.8. Je, sisi watanzania shida ni umaskini au tunaogopa kusafiri?

    Kwa mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote inaonesha wakenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 walisafiri kwa Ndege huko Kenya wakiwemo wageni zaidi ya mil. 5 na raia zaidi ya mil. 6. Kwa upande wa...
  3. Kijakazi

    Sakata la Kenya Airways na Air Tanzania: Anayeathirika ni Air Tanzania

    Eti wanapiga stop Kenya Airways kwa jeuri gani wakati kila siku mko huko kujikomba? Msichokijua labda Kenya Airways ni mbia wa KLM-Air France kuizuia kutua Dar/Tanzania kunaathiri KLM-Air France pia, hivyo hakuna kitu hapo. Kenya Airways itatua Dar na biti la Air Tanzania Kenya litabakia kwani...
  4. B

    RAF jets intercept Kenya Airways flight diverted to Stansted Airport

    12 October 2023 London, England RAF jets intercept Kenya Airways flight diverted to Stansted Airport https://m.youtube.com/watch?v=IUxvYYaUO6M A large emergency response is underway at Stansted Airport after a Kenya Airways plane from Nairobi to Heathrow was diverted. Royal Air Force jet...
  5. Replica

    Kweli biashara ya ndege ngumu, Kenya Airways na ukubwa wote wamechemka. Ruto kuiuza kwa Wamarekani. ATCL vipi?

    Rais wa Kenya, William Ruto amekutana na viongozi wakuu wa shirika la ndege la kimarekani la Delta katika mpango wa kuwauzia hisa zote 48.9% zinazomilikiwa na Serikali ya Kenya kwenye shirika hilo. Kenya Airways imekuwa ikitegemea hazina ya Kenya kuweza kujiendesha huku kipindi cha Januari-Juni...
  6. Shujaa Mwendazake

    Kwa picha: Hali JKIA baada ya marubani wa Kenya Airways kutangaza mgomo

    Abiria wamekuwa wakipanga foleni katika kituo cha wasafiri wa kimataifa katika uwanja wa JKIA ili kujua hali ya safari zao. Baadhi ya safari zimeahirishwa na wateja wengine kuhamishiwa ndege zingine, lakini wengine wao wamesubiri hadi saa 6 kuhudumiwa.
  7. BARD AI

    Marubani 400 wa Kenya Airways wagoma, abiria 10,000 wakwama uwanja wa ndege

    UPDATE: Chama cha Wafanyakazi wa Usafiri wa Anga cha Kenya (Kawu) kimetaka wanachama wao kuacha kazi leo baada ya Mamlaka ya Uwanja wa Ndege wa Kenya kukamilisha na kutekeleza Makubaliano ya Pamoja ya Majadiliano (CBA) ambayo yalijadiliwa na kuafikiwa mwaka wa 2019. Wanachama wa Kawu ambao ni...
  8. JanguKamaJangu

    Marubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways mbioni kufanya mgomo

    Imedaiwa mpango huo unatarajiwa kuanza muda wowote kuanzia leo Novemba 3, 2022 baada ya mazungumzo ya wiki mbili baina ya pande mbili kutopata muafaka. Marubani wanataka warejeshewe mchango wa mafao yao ya kustaafu ambayo yalisimamishwa wakati wa kipindi cha UVIKO-19, wakati Shirika limeweka...
  9. BARD AI

    Marubani wa Kenya Airways watoa notisi ya mgomo

    Marubani wa shirika la ndege la Kenya Airways wanasema hawatarusha ndege kufuatia mizozo ya muda mrefu kati ya muungano wao na usimamizi wa shirika hilo. Marubani hao walidai kuwa madai yao mengi hayajatatuliwa, na hivyo wanaamua kuchukua uamuzi huo. Kwa mujibu wa notisi yao watagoma ndani ya...
  10. BARD AI

    Abiria afariki ndani ya ndege ya Kenya Airways kabla haijaruka

    Taarifa iliyotolewa na shirika hilo leo Septemba 14, 2022 ilisema abiria huyo alifariki alipokuwa akihudumiwa na wahudumu wa afya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) Imeelezwa abiria huyo alipata matatizo ya kupumua alipokuwa akiingia kwenye ndege ambayo ilikuwa...
  11. MK254

    KQ intends to buy 40 flying taxis from Brazil

    Kenya Airways(KQ) has signed a deal that will see it buy 40 flying taxis from two Brazilian firms as part of the airline’s diversification through its new subsidiary Fahari Aviation. The carrier said on Tuesday it had signed a letter of intent (LOI) with EVE UAM, LLC, a subsidiary of Eve...
  12. Tony254

    Kenya airways in an agreement with Delta Airlines sasa itaruhusiwa kufly to 19 US cities

    Kenya airways wamesign makubaliano na Delta airlines in a codeshare agreement. The new agreement increases customers' travel options to 19 cities in Africa and 25 cities across the U.S. and Canada. Hii partnership ya KQ na Delta inazidi kuwa tamu. ========== Kenya Airways(KQ) and US-based...
  13. MK254

    Kenya Airways sets up hub for training drone pilots

    Kenya Airways has launched the country's first-ever drone cage to be used for training Unmanned Aerial Vehicle pilots. Through its subsidiary, Fahari Aviation, the airline will use the facility for training and testing of drones and drone equipment. Fahari Aviation said it is positioning...
  14. Informer

    Shirika la Ndege la Kenya Airways lapata hasara kubwa, Serikali kupitisha panga kwa wafanyakazi, kupunguza safari

    Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ) linatarajiwa kufanya mabadiliko makubwa katika utendaji kazi wake ikiwemo kupunguza safari na kuwaondoa kazini wafanyakazi kutokana na tatizo la fedha Maamuzi hayo yametangazwa na Serikali ya Kenya kutokana na Shirika kujiendesha kwa hasara, hivyo maamuzi...
  15. Tony254

    Rubani wa kike wa Kenya Airways apata sifa kwa kutua Heathrow Airport licha ya kimbunga kikali

    Ujuzi wa rubani huyu umewashangaza watu wengi sana kwa kuweza kutua ndege akiwa anapambana na kimbunga kikali kilichokuwa kinayumbisha ndege lakini umahiri wake ulifanya ndege utue salama salmini. Rubani huyu kweli anaifahamu kazi yake. Hongera sana dada.
  16. Mutaitina

    Kenya Airways and South African Airways

    President Uhuru Kenyatta has announced that Kenya Airways and South African Airways will partner to form Pan-African Airline. For the experts what does this mean in terms of advantages and disadvantages of the merger
  17. MK254

    Kenya Airways launches direct Juba-Khartoum flights

    Kenya Airways (KQ) has started direct flights from South Sudan capital Juba to Khartoum in Sudan as it eyes Africa expansion. The national carrier said the new flight will originate from the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) in Nairobi flying to Khartoum via Juba and back to Nairobi...
  18. MK254

    KQ deploys larger plane to Mombasa on rising demand

    National carrier Kenya Airways has deployed a larger capacity aircraft to Mombasa on weekends following high demand from passengers, coming as a boost to the airline that has been grappling with low numbers. The airline will on Saturday and Sunday use the high capacity Boeing 737 on the coastal...
Back
Top Bottom