Naibu Rais Gachagua ni vyema akadhibitiwa kabla hajatamka neno lolote Kwa wakati huu. Maana jamaa linamtoka lolote linalomjia kinywani. Kenya Kwa sasa inahitaji utulivu na uponyaji
Wakenya, wenzetu ndugu zetu na majirani zetu.
Yanayoendelea kwenu si ya kufurahisha na hata wanoshabikia hawaelewi mateso yanayowapata baadhi ya wakenya.
Msiivuruge nchi yenu tafadhali.
Ilindeni amani yenu na tatueni matatizo yenu kwa amani.
Vijana Gen Z, waombwe watuulie wakati wazee toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.