Rais wa Marekani Joe Biden, ameiteua rasmi Kenya kuwa mshirika mkuu wa taifa hilo asiye mwananchama wa NATO.
Hatua hii ina maana kwamba licha ya Kenya kutokuwa katika sehemu ya Jumuiya ya Kujihami ya NATO, ina ushirikiano wa kina wa kimkakati na usalama na Marekani.
Uteuzi huo unafanyika wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.