kenyatta

Jomo Kenyatta (c. 1897 – 22 August 1978) was a Kenyan anti-colonial activist and politician who governed Kenya as its Prime Minister from 1963 to 1964 and then as its first President from 1964 to his death in 1978. He was the country's first indigenous head of government and played a significant role in the transformation of Kenya from a colony of the British Empire into an independent republic. Ideologically an African nationalist and conservative, he led the Kenya African National Union (KANU) party from 1961 until his death.
Kenyatta was born to Kikuyu farmers in Kiambu, British East Africa. Educated at a mission school, he worked in various jobs before becoming politically engaged through the Kikuyu Central Association. In 1929, he travelled to London to lobby for Kikuyu land affairs. During the 1930s, he studied at Moscow's Communist University of the Toilers of the East, University College London, and the London School of Economics. In 1938, he published an anthropological study of Kikuyu life before working as a farm labourer in Sussex during the Second World War. Influenced by his friend George Padmore, he embraced anti-colonialist and Pan-African ideas, co-organising the 1945 Pan-African Congress in Manchester. He returned to Kenya in 1946 and became a school principal. In 1947, he was elected President of the Kenya African Union, through which he lobbied for independence from British colonial rule, attracting widespread indigenous support but animosity from white settlers. In 1952, he was among the Kapenguria Six arrested and charged with masterminding the anti-colonial Mau Mau Uprising. Although protesting his innocence—a view shared by later historians—he was convicted. He remained imprisoned at Lokitaung until 1959 and was then exiled to Lodwar until 1961.
On his release, Kenyatta became President of KANU and led the party to victory in the 1963 general election. As Prime Minister, he oversaw the transition of the Kenya Colony into an independent republic, of which he became president in 1964. Desiring a one-party state, he transferred regional powers to his central government, suppressed political dissent, and prohibited KANU's only rival—Oginga Odinga's leftist Kenya People's Union—from competing in elections. He promoted reconciliation between the country's indigenous ethnic groups and its European minority, although his relations with the Kenyan Indians were strained and Kenya's army clashed with Somali separatists in the North Eastern Province during the Shifta War. His government pursued capitalist economic policies and the "Africanisation" of the economy, prohibiting non-citizens from controlling key industries. Education and healthcare were expanded, while UK-funded land redistribution favoured KANU loyalists and exacerbated ethnic tensions. Under Kenyatta, Kenya joined the Organisation of African Unity and the Commonwealth of Nations, espousing a pro-Western and anti-communist foreign policy amid the Cold War. Kenyatta died in office and was succeeded by Daniel arap Moi.
Kenyatta was a controversial figure. Prior to Kenyan independence, many of its white settlers regarded him as an agitator and malcontent, although across Africa he gained widespread respect as an anti-colonialist. During his presidency, he was given the honorary title of Mzee and lauded as the Father of the Nation, securing support from both the black majority and the white minority with his message of reconciliation. Conversely, his rule was criticised as dictatorial, authoritarian, and neo-colonial, of favouring Kikuyu over other ethnic groups, and of facilitating the growth of widespread corruption.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Uhuru Kenyatta: Nimeona watu wanalia lia baada ya Trump kusitisha misaada. Mnalia nini na hela sio zenu?

    Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta ameonya viongozi wa Afrika dhidi ya kutegemea sana misaada ya kigeni kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wa kusitisha msaada wa shirikisho duniani kote. Akizungumza wakati wa Mkutano wa Usalama wa Afya wa Kanda ya Afrika Mashariki 2025...
  2. JanguKamaJangu

    Uhuru Kenyatta awaambia Gen Z "Msikubali haki yenu ipotee, ipambanieni sio mnakaakaa tu mnaogopa"

    https://www.youtube.com/watch?v=J8egAFLzxsA Siku mbili baada ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kutoa rai kwa vijana nchini Kenya kupigania haki zao na utawala bora nchini Kenya, Rais William Ruto amemtuhumu mtangulizi wake huyo kuwachochea vijana nchini Kenya kufanya fujo. Usemi huo wa Rais...
  3. Waufukweni

    Rais Ruto amtembelea Rais mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta nyumbani kwake Gatundu

    Rais William Ruto leo Jumatatu, Desemba 9 alimtembelea aliyekuwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta nyumbani kwake Gatundu katika Kaunti ya Kiambu. Katika andiko la aliyekuwa Msemaji wa Ikulu Kanze Dena, amesema wawili hao walijadili masuala yenye maslahi ya taifa.
  4. E

    Happy Birth Day Uhuru Kenyatta

    Im wishing you a wonderful moment at your 63 years birth day
  5. S

    Kumbe hili suala la mikataba ya siri sio Tanzania tu na bandari zetu, huko Kenya raisi anahusishwa na kutaka kutoa Jomo Kenyatta Airport kwa siri!

    Karibu viongozi wote wa Afrika wana tabia moja inayofanana - kujitajirisha binafsi kwa kuingia mikataba ya siri inayoumiza nchi zao, huku wakidanganya umma mikataba hiyo ni kwa faida ya nchi zao. Mtu yeyote mwenye akili atajua kwamba mkataba ambao kweli una nia ya kuinufaisha nchi hauwezi...
  6. kipara kipya

    Kuongoza hii nchi inahitaji kiongozi msela na dikteta wananchi sio maiti kama alivyosema kenyatta ni punda!

    KIchwa cha habari kimejieleza tayari punda haendi bila mijeledi utawala wa awamu ya tano ulikuwa bora sana kuwahi kutokea nchi hii kulikua na heshima sana husikii nguchiro anapiga kelele!
  7. Return Of Undertaker

    Jomo Kenyatta(RIP): Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao

    Jomo Kenyata alishawai kusema: "Waganda ni sawa na wagonjwa wanaweza kupona mda wowote na wakadai vyao, Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao, Ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao.
  8. Mohamed Said

    Jomo Kenyatta (56) na Abdul Sykes (26) Katika Mkutano wa Siri, Nairobi 1950

    IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s "Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952": "...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following...
  9. BARD AI

    Rais Ruto adaia Serikali ya Uhuru Kenyatta ilikuwa na Bajeti ya kuhonga Mahakama

    Rais William Ruto ameutuhumu Utawala wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuwa ulitenga Bajeti maalum kwaajili ya kuwahonga na kuwarubuni Majaji na Mahakimu ili wawe wanatoa maamuzi ya kuipendelea Serikali. Amesema Serikali yake haiwezi kuyumbishwa na Kesi zinazofunguliwa katika Mahakama nchini humo...
  10. Miss Zomboko

    Kenyatta: Serikali chapeni kazi msilaumu utawala uliopita

    Rais Mstaafu wa kenya Uhuru Kenyatta, ameiambia serikali iliyoko madarakani iache kuulaumu utawala wake kwa kushindwa kutimiza malengo iliyowaahidi Wakenya. Uhuru amesema serikali ya rais William Ruto inapaswa kushughulikia matatizo yanayowakabili Wakenya badala ya kutafuta sababu zisizo na...
  11. Mohamed Said

    Bibi. Titi Memorial Festival Ikwiriri Rufiji: Kampeni ya Kumtoa Jomo Kenyatta Kifungoni

    https://youtu.be/EGlJS8PwzoA BIBI TITI MEMORIAL FESTIVAL IKWIRIRI RUFIJI 27 NOVEMBER - 2 DECEMBER 2023 DONDOO KATIKA MAISHA YA BIBI TITI Msukumo mkubwa nchini Kenya ilikuwa kufanya kampeni ya nchi nzima kuwashinikiza Waingereza wamwachie huru Kenyatta aliyekuwa akichukuliwa na wananchi wote...
  12. M

    Viongozi wetu wajifunze kutoka kwa Uhuru Kenyatta

    Ni muhimu viongozi wetu wajifunze kuwa na busara wanaposhughulika na watu wanaotofautiana nao. NItaeleza. Mnamo mwaka 2018 huko Kenya, mwaka mmoja baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2017 ambapo Uhuru Kenyatta alitangazwa kushinda kiti cha urais akimshinda mpinzani wake mkuu Raila Odinga...
  13. S

    Atwoli lectures Uhuru Kenyatta

  14. Suley2019

    Uhuru Kenyatta: Mapinduzi ya Jubilee Party yalipangwa na Serikali

    Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta sasa anadai kuwa matatizo yanayowasumbua Chama cha Jubilee yalipangwa na serikali ya Kenya Kwanza na kutekelezwa kwa msaada wake. Uhuru alifichua kwamba, ingawa ilikuwa mpango wake wa awali kumkabidhi uongozi mpya wa chama baada ya kustaafu urais, jaribio lililodaiwa...
  15. JanguKamaJangu

    Nyumba ya Mtoto wa Uhuru Kenyatta yadaiwa kuvamiwa na Polisi

    Uhuru Kenyatta’s Son Jomo's Karen Home Allegedly Raided By Police Former President Uhuru Kenyatta now claims that his first-born son Jomo's residence in Karen was on Friday raided by mysterious individuals who identified themselves as police officers. Addressing the media on Friday night...
  16. R

    Madaraka matamu ukiwa nayo; Uhuru Kenyatta na Familia yake wana pesa ila hawana amani. Wanapitishwa pagumu

    Siyo kila tajiri ataishi milele kwa furaha na utajiri wake Siyo kila mwenye madaraka ataendelea kuishi kwa furaha baada ya kuacha madaraka. Kikwete alipomwachia nchi Hayati Magufuli matosa waliandamana na wale wote waliokuwa wafuasi yake. Uhuru ameachia madaraka sasa hivi familia yake...
  17. Nyendo

    Mama yake Uhuru Kenyatta aondolewa ulinzi

    Serikali imeondoa walinzi wa aliyekuwa Mke wa Rais Mama Ngina Kenyatta katika nyumba yake ya Gatundu na Muthaiga. Kulingana na maafisa, Mama Ngina, ambaye pia ni mamake Rais wa zamani Uhuru Kenyatta, maafisa wake wa ulinzi waliondolewa jioni ya leo muda wa saa kumi na moja jioni huku maafisa wa...
  18. BARD AI

    Kenya: Uhuru Kenyatta na Raila Odinga wadaiwa kupanga njama za kumuondoa Rais Ruto Madarakani

    Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB) zimeeleza kuwa Rais Mtaafu Uhuru Kenyatta amefanya Kikao maalum cha SIRI nyumbani kwa kiongozi wa Upinzani...
  19. comte

    Mbunge Mabula aomba barabara ya Kenyatta ianze kujengwa njia nne kuungana na daraja la Busisi

  20. B

    Kenyatta anaposimama na Odinga, CHADEMA mnayo ya kujifunza

    Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani. How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama bado siyo funzo kwa wajuaji uchwara hawa watajifunza lini? Cha kusikitisha zaidi baadhi ya wajuaji...
Back
Top Bottom