kero barabarani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Kero ya misafara ya viongozi Dar es Salaam

    Hii misafara ya viongozi wetu inakera sana.Leo nimeonja adha ya hii kero haba mbezi karibu na standi kuu ya mabasi ya magufuli. Nina mgojwaa nawahi hospitali lakini gari zimezuiwa na nimejaribu kuwa eleza hawa askari wanadai watanichapa makofi nikilazimisha Kwa kudai Kuna kiongozi mzito...
  2. Rais Samia upo vizuri lakini kwa hili la kutuweka barabarani kwa muda mrefu hapana

    Kwa kifupi. Tumefika na tupo hapa Mkata kutokea Namanga kwenda Dar Es Salaam. Tumeshuka na kukaa ili kukusubili wewe na msafara wako upite. Hii kitu imenipa wakati mgumu sana kuwaza na kutafuta jibu hata sijalipata. Wewe ndiye mwenye maamuzi na viongozi walio chini yako kufanya mageuzi ya...
  3. K

    KERO Hii Barabara eneo la Igogo - Mwanza inatutesa wengi, kwani Viongozi wanaohusika hawaioni?

    Kuna changamoto ya miundombinu ya Barabara katika eneo la Igogo inayopita Soko la Wafanyabishara Wadogo la Mchafu Koga. Changamoto hiyo inasababisha vyombo vya usafiri hasa Daladala kutopita katika eneo hilo kwa wasiwasi wa kuharibu vyombo vyao vya moto huku abiria nao wakikumbana na adha ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…