kero huduma za serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Baada ya ziara mikoani, viongozi mrudi ofisini kweli na kuchukua hatua

    VIONGOZI CCM TAIFA MNAFANYA VIZURI SAANA KUTEMBELEA MIKOANI NA KUYASOMA MABANGOBAADA YA HAPOTURUDI OFISINI TUWE NA TAFAKURI NZITOKISHA TUCHUKUWE HATUA ZA KUFANYA MAAMUZI MAGUMU Nilisikika nikiunguruma Kama Simba Katika Ulimwengu wa kiroho huko Ndotoni kukemea Maovu ya kuzisigina katiba Kanuni...
  2. K

    Ni wakati sasa Serikali kutoa huduma za VIP

    Kwa mlolongo wa kutoa huduma kwenye taasisi muhimu za serikali mfano ukienda NIDA kupata kitambulisho unachukua muda mrefu sana mpaka kupata namba ya NIDA na kitambulisho chenyewe unaweza usipate usipojiongeza vizuri. Pia ukienda RITA kupata huduma tabu ipo palepale utazungushwa kwelikweli ila...
  3. Hivi kwa nini namba za mezani(landline) zilizopo kwenye Taasisi za Serikali huwa azipokelewi wakati wameweka wenyewe

    Taasisi nyingi za Serikali wanakuwa na namba za meza kwa jina simu za waya kama kuna tatizo lolote au mawasiliano kuweza kuwapigia. Cha kushangaza tokea kuingia matumizi ya simu kiganja kama simu hizi za mezani zimekuwa bure au kero, yaani unaweza kupiga siku nzima wala kutopokelewa wakati...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…