kero maji buhongwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanza: Maji yaanza kutoka Buhongwa. Ni baada ya Waziri Aweso kuweka Kambi na Mafundi Site

    AWESO AKAMILISHA KAZI YA WIKI KWA SIKU 1 BUHONGWA,KAZI YAKAMILIKA USIKU AWESO AKAMILISHA KAZI YA WIKI KWA SIKU 1 BUHONGWA,KAZI YAKAMILIKA USIKU Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amehakikisha Kazi iliotakiwa kufanyika ndani ya wiki moja ya ukamilishaji wa Mradi wa Maji wa Buhongwa jijini Mwanza...
  2. A

    KERO Changamoto ya upatikanaji maji kata ya Buhongwa Mwanza-Nyamagana

    Jamani sisi watu wa Mwanza wilaya ya nyamagana kata ya Buhongwa na vitongoji vyake vya Sahwa, Bulale nk. maji ni pasua kichwa. Hakuna Maji na hata yakitoka ni mara moja kwa week ama mara tano kwa mwezi. Mradi wa Maji wa Sahwa una zaidi ya miaka 4 sasa hakuna kinachoendelea. Mradi wa maji wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…