kero maji dar

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwande na Mndewa

    DOKEZO Wakazi wa Kinyerezi waamua kuchimba visima kwa sababu ya uhaba wa maji

    Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli, maji nayo yakafa Kinyerezi. Hivi sasa maji yanatoka mara moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika ikiwemo mitaa ya St Alex kwa Babu Ali hadi Sihaba. Maji ambayo hayana hata presha ya kupanda kwenye tanki yanatoka masaa matatu na kukatika...
  2. Mashamba Makubwa Nalima

    Unaamka asubuhi hakuna maji,sekunde kadhaa unaambiwa ukamkamate mtu kwakuwa ameandika mtandaoni kuwa mtaa wake hauna maji. Ni kazi yako unibidi utii

    Najua wenyewe hawapendi. Ni kazi tu za order. Uzi tayari
  3. JF Member

    KERO Waziri Aweso, Jiji la Dar Sasa wanakunywa na kuoga maji ya kwenye mifereji. DAWASA pakavu

    Hii ni hakika. Tunetoka kwenye mvua kubwa, mifereji ya Jiji la Dar na vijito bado vinatirisha maji. Wananchi wachota hayo maji kwa matumizi Yao ya kila siku. Bila haya maji, Jiji la Dar liko kwenye hatari ya kindupindu. Aweso changamka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi. Waziri wa afya pia...
  4. Doto12

    KERO Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii

    Group limeundwa na watu wa DAWASA wenyewe cha ajabu hawasikilizi shida za wananchi. Mh. Waziri anahangaika huku na kule lakini wafanyakazi wa DAWASA wachache wanafanya masihara na maisha ya wananchi. Rais anahangaika huku na kule kuna wapuuzi wamekaa kwenye kiyoyozi wanashika videvu. Mh...
  5. LUS0MYA

    Waziri wa Maji ingilia kati DAWASA, hali ya maji Dar ni mbaya sana

    Mheshimiwa Waziri wa Maji matatizo ya maji ya miaka kumi iliyopita yamerudi katika jiji la Dar es Salaam pamoja na kwamba hakuna taarifa ya kupungua kwa maji. Hali ni mbaya zaidi kwa DAWASA Kimara ambapo pamoja na kupitiwa jirani na bomba kubwa kutoka Ruvu juu uhakika wa maji ni mdogo. Hali ya...
Back
Top Bottom