kero maji kinyerezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwande na Mndewa

    DOKEZO Wakazi wa Kinyerezi waamua kuchimba visima kwa sababu ya uhaba wa maji

    Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli, maji nayo yakafa Kinyerezi. Hivi sasa maji yanatoka mara moja kwa mwezi yakitoka yanakaa masaa matatu yanakatika ikiwemo mitaa ya St Alex kwa Babu Ali hadi Sihaba. Maji ambayo hayana hata presha ya kupanda kwenye tanki yanatoka masaa matatu na kukatika...
  2. Annie X6

    KERO Mhandisi Mkama Bwire njoo Kinyerezi utatue tatizo la maji, tumechoka na siasa

    Ni juzi Waziri alitembelea na akatoa maamuzi mbalimbali cha kushangaza hadi sasa hakuna maji. Watendaji wenu wanatuletea mambo ya mgawo wa maji siku moja kwa wiki Alhamisi cha ajqbu hiyo Alhamisi hayatoki. Mbezi Mwisho maji yanatoka full days kwanini mnatuletea siasa. Kwakuwa tunajua wewe ni...
  3. Annie X6

    KERO Nina masikitiko makubwa: Pamoja Waziri kuchukua hatua na kutoa maelekezo, bado Kinyerezi maji yanatoka kwa manati

    Mh waziri una watendaji viburi sijawahi kuona. Au wamegoma? Kuna shida gani ndani ya wizara yako? Tumekaa miezi na miezi maji hayatoki na leo hakuna maji pamoja na ujio wako. Hawa watendaji wametoa wapi. Ni Watanzania kweli hawa? Wana roho mbaya sana. Kama tank halikuwa na maji na wamejaza...
  4. Pfizer

    Dar: Waziri Aweso amemsimamisha Meneja wa DAWASA, Kinyerezi Burton Mwalupaso Kwa kushindwa kutekeleza vyema majukumu yake

    AWESO AMUWEKA PEMBENI MENEJA DAWASA KINYEREZI, MALALAMIKO YA WANANCHI YACHANGIA Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemsimamisha Meneja wa DAWASA Kinyerezi Burton Mwalupaso Kwa kushindwa kutekeleza vyema majukumu yake ikiwa ni pamoja na kushindwa kujua Takwimu kamili za mahitaji ya Maji kwenye eneo...
  5. Doto12

    KERO Kinyerezi kuna shida kubwa ya maji, group la DAWASA WhatsApp halifanyi chochote kutatua kero hii

    Group limeundwa na watu wa DAWASA wenyewe cha ajabu hawasikilizi shida za wananchi. Mh. Waziri anahangaika huku na kule lakini wafanyakazi wa DAWASA wachache wanafanya masihara na maisha ya wananchi. Rais anahangaika huku na kule kuna wapuuzi wamekaa kwenye kiyoyozi wanashika videvu. Mh...
Back
Top Bottom