kero stendi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Stendi ya Boma Ng'ombe Inahitaji Maboresho

    Hii ni stendi iliyopo katika Wilaya ya HAI mkoani Kilimanjaro, mahala panapojulikana kwa jina la Boma Ng'ombe, Stendi hii inamashimo shimo ambayo sio rafiki kwa watumiaji wa stendi hii. Pia stendi hii ni chafu, imezagaa taka za vifungashio vya Chakula na Bidhaa mbalimbali. Mamlaka ichukue...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…