Wanabodi kama kichwa cha habari kinavojieleza Badarini na Mipakani kuna taasisi nyingi zinazohusika katika ukaguzi wa mizigo matokeo yake ni usumbufu na kero kwa wanaoagiza mali toka nje.
Taasisi hizo ni TBS, TFDA, Mionzi, Fair Trade, Afya,Chakula, Mkemia, Mbolea, Kilimo NK.
Kila Taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.