Wanabodi kama kichwa cha habari kinavojieleza Badarini na Mipakani kuna taasisi nyingi zinazohusika katika ukaguzi wa mizigo matokeo yake ni usumbufu na kero kwa wanaoagiza mali toka nje.
Taasisi hizo ni TBS, TFDA, Mionzi, Fair Trade, Afya,Chakula, Mkemia, Mbolea, Kilimo NK.
Kila Taasisi...