Habari wakuu!
Jiji la Mbeya ni moja ya miji unayokuwa kwa kasi sana, hongereni wana Mbeya ila shida ni dala dala kushindwa kufika mwisho wa safari.
Hapa namaanisha kufaurisha abiria kisa wamepungia kwenye gari.
Hii ni kero sana nimeona kwangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.