kero ya maji arusha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Thomas Odera

    KERO Uhaba wa maji jijini Arusha

    Kuna tatizo la maji katika jiji la Arusha eneo la Njiro tangu jana mchana mpaka leo. Sijui kama ni kwa eneo ambalo nafanyia kazi au na maeneo mengi ya jiji. Hebu mamlaka husika ilifanyie kazi. cc Wizara ya Maji
Back
Top Bottom