kero ya maji kibaha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    KERO DAWASA Kibaha nini tatizo? Hakuna Huduma ya Maji wiki ya pili, hayo mabomba mabovu hayatengenezeki?

    Wiki mbili zilizopita kulitokea changamoto ya bomba la maji kupasuka maeneo ya Maili Moja – Kibaha, hali hiyo ikasababisha maeneo mengi kukosa maji, tuliporipoti DAWASA – Kibaha kila siku wakawa wanatuambia wanarekebisha lakini bado huduma hazijarejea. Hali hiyo inatupa changamoto kubwa Wakazi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…