Maji hayatoki, pia wakala wa huduma za nishati na umeme vijijini hawatoi majibu ya kueleweka kuhusu wananchi ambao bado hawajapata huduma ya umeme, walifanya survey mwezi Machi mpaka sasa Septemba hawajarud tena.
Ukifatilia kwenye ofisi zao hawatoi majibu ya kuridhisha wanasema subirini...
Anonymous
Thread
huduma za kijamii
keroyamajirombokeroya umeme rombo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.