kero ya maji tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    KERO Wananchi Momba hatuna maji safi na salama tunatumia maji na wanyama

    Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Msangano wilaya ya Momba mkoani Songwe wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji wakidai kuwa wamekuwa wakitumia maji pamoja na wanyama kwenye Mto Nkana. Soma Pia: Wananchi wa Kijiji cha Idibula, Kilino (Nzega) hawajawahi kupata...
  2. A

    KERO Ukosefu wa Maji kitongoji cha Nyangera, Mbulu inasababisha wananchi kufuata maji umbali mrefu kwa kutumia punda

    Katika nchi yetu kuna baadhi ya maeneo kupata huduma mbalimbali za msingi kama maji, umeme n k imekuwa kawaida sana, lakini hii hali imekuwa tofauti sana katika halmashauri ya Mbulu mji hasa maeneo baadhi ya vitongoji hasa kitongoji cha Nyangera Kijiji Cha Jaranjar, na watu wanachota kwa kutumia...
Back
Top Bottom