Leo asubuhi katika makazi yangu mapya Dar es Salaam walikuja wadada wawili kudai kilichoitwa hela ya taka na mazungumzo yetu yalikua kama ifuatavyo;
Wadada: Kaka mambo
Mimi: poa
Mdada 1: Kaka hela ya taka
Mimi: wenyewe hawapo
Mdada 1: wewe si muhusika pia inabidi utoe hela ya taka
Mimi: Dada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.