Leo asubuhi katika makazi yangu mapya Dar es Salaam walikuja wadada wawili kudai kilichoitwa hela ya taka na mazungumzo yetu yalikua kama ifuatavyo;
Wadada: Kaka mambo
Mimi: poa
Mdada 1: Kaka hela ya taka
Mimi: wenyewe hawapo
Mdada 1: wewe si muhusika pia inabidi utoe hela ya taka
Mimi: Dada...