kero za walimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Kliniki Ya Walimu Na Samia kushughulikia kero za walimu Arusha

    Walimu na Wastaafu Wenye Kero Mbalimbali wamejitokeza Kliniki Ya Walimu Na Samia Mkoani Arusha Kusikilizwa Na Kikosi KAZI Kutatua Kero zao Kliniki hiyo inaratibiwa na chama cha walimu Tanzania (CWT) kwa kushirikiana na ofisi ya Rais utumishi, Tamisemi na tume ya utumishi wa walimu nchini
  2. T

    Pre GE2025 Dtk. Biteko awataka walimu wasijione duni waeleze shida zao, ataka pia wasikilizwe wakiwasilisha shida hizo

    “Walimu semeni shida zenu na wakati wote msijione duni, oneni namna Serikali inavyoweza kutatua changamoto zenu. Nataka niwakumbushe Watanzania kuwa ninyi ni nguzo ya taifa letu, zoezi hili linamfanya mwalimu mwenyewe kukutana na watoa huduma Serikalini ili kujua nini kitafanyika juu ya...
Back
Top Bottom