Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro.
Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda, anayedaiwa kufungua kesi dhidi ya Malissa baada ya kuripoti huko nyuma kuhusu kuuawa kwa Mfanyakazi wa ndani...