kesi ya jiani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kesi ya Kumjeruhi na kutishia kwa bastola Klabu 1245 yasimama, baada ya mlalamikaji kuchelewa

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, iliyoko Kinondoni, imeshindwa kuanza usikilizwaji wa kesi ya kumjeruhi na kutishia kwa silaha ya moto (bastola), katika klabu ya usiku (Night Club) 1245, Masaki, Dar es Salaam, kutokana na mlalamikaji kuchelewa kufika mahakamani kwa muda uliopangwa. Katika...
  2. J

    RPC Mutafungwa: Mtu Binafsi hawezi kufuta Kesi ya Jinai kwa Sababu Mshtaki ni Jamhuri yeye anakuwa shahidi tu!

    Kuhusu Barua inayodaiwa kuandikwa na binti aliyelawitiwa, RPC Mutafungwa amesema barua hiyo haijawafikia na kwamba mtu Binafsi hawezi kufuta kesi ya jinai kwa sababu mshtaki ni Jamhuri Jumaa Mubarak 😀 ===== Mwandishi: Mtuhumiwa alikuwa amehiari kwa hiari yake kuachana na kesi hii Jeshi la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…