Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, iliyoko Kinondoni, imeshindwa kuanza usikilizwaji wa kesi ya kumjeruhi na kutishia kwa silaha ya moto (bastola), katika klabu ya usiku (Night Club) 1245, Masaki, Dar es Salaam, kutokana na mlalamikaji kuchelewa kufika mahakamani kwa muda uliopangwa.
Katika...